Mathematics | Learn Math with Kids' Wisdom | Educational Content in Swahili
Je unajua tofauti kati ya +, -, x, na kadhalika? Jifunze matendo ya hisabati kutumia huu wimbo ya kuelimisha kutoka katuni ya Ubongo Kids! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
نیچے دیے گئے کارڈ پر ٹیپ کر کے مزید تفریحی انتخاب دیکھیں۔
آپ کو یہ بھی پسند آ سکتا ہے
Year9 Maths
Pry6 Math
Year7 Maths
Maths
Year 4 Math
Year 8 Math
Grade 1 Math
CALCULUS
JSS 1 Junior Mathematics
Year 5 Math
Grade 5 Math
JSS8 Math
SS3 Mathematics
Mathematics (Junior Secondary School 1)
Mathematics class
Matematika Hebat
JSS2 Mathematics
Mathematics Grade 12 Algebraic Expressions, Equations and Inequalities
Kelas 7 Matematika
Grade 8 Mathematics
Grade 11 mathematical literacy
GRADE 9 MATHEMATICS
Kelas 4 Matematika
Grade 4 Mathematics
تبصرے
1 تبصرے
Je unajua tofauti kati ya +, -, x, na kadhalika? Jifunze matendo ya hisabati kutumia huu wimbo ya kuelimisha kutoka katuni ya Ubongo Kids! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na
