Let's learn English with Ubongo Kids! Angalia hiki kipindi kizima cha Ubongo Kids kwa Kiingereza! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
آپ کو یہ بھی پسند آ سکتا ہے
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Making money is easier than you think || Abdinoor Alimahdi
How the 'Afghanistan War' Led an Ex-US Soldier to 'Kenya'
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
The Day Osama Bin Laden's Al Qaeda Bombed Kenya
"Why Kenyans Feared Nicholas Biwott | Buried Secrets"
Akili and Friends at the Market | New Words with Akili and Me | African Educational Cartoons
“Kenya’s Game of Thrones: Why Gachagua Fell?”
Primary 1 English
Primary 6 English
SS 3 English
Year1 English
Level 1 English | Little Fox
Primary 5 English
PrePrimary English
JS 1 English
Year4 English
KS1 English
JS 3 English
Learning ABCs - African Alphabet Edutainment
KS2 English
تبصرے
1 تبصرے
Let's learn English with Ubongo Kids! Angalia hiki kipindi kizima cha Ubongo Kids kwa Kiingereza! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata
