Bila sisi kuzingatia usafi wa mazingira dunia yetu itaaribika! Tujifunze zaidi kuhusu usafi wa mazingira kupitia huu wimbo wa Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
Tap a card below to continue exploring more entertainment picks.
You Might Also Like
Alphabet Letter Hunt!
Pry2 English
Pry6 English
Pry5 English
JSS8 English
Writing
English Course - Beginner 1
SSS 1 English
Pry 6 Primary English
Academic Listening and Note-Taking
Grade 2 English Spelling Words
Pry 1 Primary English
Pry3 English
English Language - Grade 2
Pry 3 Primary English
Grade 4 English Spelling Words
SS3 Literature-in-English
English Conversation Primary 1
PrePrimary English
Teach a Child to Read Videos
Helping your child to learn with CBeebies
Teach Reading with Phonics - American English Pronunciation!
Phonics - Journey Through the Alphabet! | Learn to Read | Alphablocks
Back to school
Comments
1 Comments
Bila sisi kuzingatia usafi wa mazingira dunia yetu itaaribika! Tujifunze zaidi kuhusu usafi wa mazingira kupitia huu wimbo wa Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
