Kiduchu ni msichana wa kipekee! Angalia video zake hapa hapa na Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
I-tap ang card sa ibaba para magpatuloy sa mas marami pang entertainment picks.
Maaari Mo Ring Magustuhan
KS1 English
Year2 English
English lessons for JAMB, WAEC, NECO and NABTEB candidates + SS1, SS2 and SS3 students
Year 1 | English Lessons
The Alphabet in Magical Lands
SSS10 English
Grade 4 English Spelling Words
Beginner English: About You
Basic English Skills: Hobbies
JSS1 English Language
English Language - Grade 2
Pry 1 Primary English
SS1 English Language
Best English Language Lessons for Nigerian Students
English Grammar Masterclass
MTN Spelling BEE
JSS 1 Junior English
Primary 3, Time for English, English for kids | English for Primary 3
Teach a Child to Read Videos
Primary 1 - 1st Term
Pry 2 Primary English
Teach Reading with Phonics - American English Pronunciation!
Class 4-8 English Grammar | Complete Course | All Chapters Available
SS1 Literature-in-English
Mga Komento
1 Mga Komento
Kiduchu ni msichana wa kipekee! Angalia video zake hapa hapa na Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
