Cerita dengan Mdadisi dan Ubongo Kids! | Konten Pendidikan Seru dalam Bahasa Indonesia
Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
Mungkin Anda Juga Suka
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Making money is easier than you think || Abdinoor Alimahdi
Bagaimana Perang 'Afghanistan' Membawa Seorang Prajurit AS Ex ke 'Kenya'
Hidup Idi Amin Dada: Pria yang Memerintah Uganda dengan Pukul Besar
ANGGOTA DAN PERANG: Di Dalaman Kamp Latihan Angkatan Darat Inggris di Kenya. Mengapa #BritishArmy /Prajurit Di Sini.
Hari Osama Bin Laden's Al Qaeda Menyerang Kenya
"Mengapa Orang Kenya Takut dengan Nicholas Biwott | Rahasia yang Tersembunyi"
Akili dan Teman di Pasar | Kata-Kata Baru dengan Akili dan Saya | Kartun Pendidikan Afrika
“Game of Thrones Kenya: Mengapa Gachagua Jatuh?”
This Investment Banker’s Money Secrets Could Change Your Life
Primary 6 English
Year 1 English
Year5 English
Year 10 English
Year8 English
Primary 4 English
SS 2 English
SSS11 English
KS3 English
KS1 English
Grade 3 English
Literacy
Komentar
1 Komentar
Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
