Two Songs "Mwanga and the Keys of Music!" | Sing with Ubongo Kids | Swahili Verses
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
नीचे दिए गए कार्ड पर टैप करके और एंटरटेनमेंट पिक्स देखें।
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Respiration
We Love Reading with Akili | Akili and Me Reads Out Loud | Cartoons for Preschoolers
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
GRADE 8 MATHEMATICS
Statistics I - Mathematics Form 2
SS ONE | MATHEMATICS | GRADE 10 | FIRST TERM
All CBC Grade 4 Math Lessons | EasyElimu
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
Grade 2 Math Lessons Topic 11: Time
Grade 10
Grade 2 Math Lessons Topic 10: Capacity
Grade 6 Math
Exam Review: Grade 10 math in 1 hour!
Grade 4 Math Lessons Topic 16: Angles
Mathematics Grade 9: Numbers (Cubes and Cube Roots) @254CBC
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
JAMB 2020
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
