Kiduchu ni msichana wa kipekee! Angalia video zake hapa hapa na Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
नीचे दिए गए कार्ड पर टैप करके और एंटरटेनमेंट पिक्स देखें।
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
Grade 1 Environmental Activities Lessons Topic 4: Our School
Structure & Bonding I Form Two
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
GRADE 9 MATHEMATICS
Grade 2 Math Lessons Topic 10: Capacity
Reproduction I Form Three
Grade 6 Math
Exam Review: Grade 10 math in 1 hour!
Grade 4 Math Lessons Topic 16: Angles
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
Akili and the Magical Telescope! | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
My Body Is For | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
MATHS TOPIC QUESTIONS
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ MATHS GRADE 12
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
JAMB 2020
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
PHYSICS PRACTICALS
KCPE 2023
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Kiduchu ni msichana wa kipekee! Angalia video zake hapa hapa na Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
