Two Songs: "Birth and Every Step is Important!" | Sing with Ubongo Kids | Swahili Verses
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
Vous aimerez aussi
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
JAMB 2020
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
KCPE 2023
PHYSICS PRACTICALS
The Day Osama Bin Laden's Al Qaeda Bombed Kenya
KCPE 2022 REVISION
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
"Why Kenyans Feared Nicholas Biwott | Buried Secrets"
Akili and Friends at the Market | New Words with Akili and Me | African Educational Cartoons
“Kenya’s Game of Thrones: Why Gachagua Fell?”
This Investment Banker’s Money Secrets Could Change Your Life
Making money is easier than you think || Abdinoor Alimahdi
How the 'Afghanistan War' Led an Ex-US Soldier to 'Kenya'
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
KCPE 2022
KCSE 2019 PAPER 1
Pry4 Math
Year 2 Math
Year 4 Math
Year 8 Math
Commentaires
1 commentaires
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
