Two Songs: "Birth and Every Step is Important!" | Sing with Ubongo Kids | Swahili Verses
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
اضغط على إحدى البطاقات بالأسفل لاكتشاف المزيد من اختيارات الترفيه.
قد يعجبك أيضًا
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
MATHS SHORT COURSES
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
GRADE 8 MATHEMATICS
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
Grade 2 Math Lessons Topic 11: Time
Grade 6 Math
Mathematics Grade 7: Measurements - Length
FRACTION GRADE 7 MATHEMATICS
Grade 4 Math Lessons Topic 11: Volume
Grade 10 - Year end evaluation
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
JAMB 2020
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
MATHS TOPIC COMPLETE COURSE
BECE MATHS TOPICS
WAEC GENERAL
PHYSICS PRACTICALS
KCPE 2023
التعليقات
1 تعليق
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
